Tanzania Scholars Volunteer
Foundation

WANACHAMA WA SHIRIKA WASHIRIKI KATIKA KUHITIMISHA KOZI CHUO CHA UONGOZI CHA MWALIMU NYERERE, KIBAHA-PWANI

Wanachama wa shirika wakiongozwa na Mwenyekiti Mhe. JUMA HAMISI walishiriki Katika tukio la kufunga kozi ya Uongozi iliyokuwa ikitolewa na Chuo Cha Uongozi Cha Mwalimu Nyerere Kibaha-Pwani.

Mwenyekiti aliupongeza Uongozi wa Chuo kwa kuandaa programu za kozi Bora kwa Watumishi ambazo zinalenga kuleta mabadiliko makubwa Katika Utumishi wa Umma. 

Aidha Wanachama wa shirika wameweza kujifunza mambo muhimu kutoka kwa wawasilishaji wa mada pamoja na Wakufunzi wote waliohudhuria Tukio hilo 
 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.