Tanzania Scholars Volunteer
Foundation

𝐃𝐈𝐑𝐀 𝐍𝐀 𝐃𝐇𝐈𝐌𝐀

𝐃𝐈𝐑𝐀
Kuwa shirika na nyenzo muhimu inayowaunganisha wasomi hasa walimu nchini.

𝐃𝐇𝐈𝐌𝐀
Kuendelea kutoa fursa kwa wasomi za kukuza maarifa, uzoefu na kipato, pia kutoa programu bora za elimu yenye tija kwa jamii.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.