KIKAO KAZI CHA UONGOZI WA SHIRIKA


 Ofisi ya Mwenyekiti wa shirika inapenda kuutaarifu Umma na Wanachama wote wa shirika kuwa siku ya Alhamisi Tarehe 28-08-2025 kuanzia saa 3 kamili usiku kutakuwa na Kikao Cha Viongozi wote wa Shirika.

Kikao hicho kitajumuisha maamuzi yaliyoamuliwa na Bodi ya Wakurugenzi Kupitia Kikao Cha pili Cha Wajumbe wa Bodi.

Aidha Ofisi ya Mwenyekiti inapenda kuwatakia utekelezaji mwema Katika Majukumu mbalimbali ya shirika.

#Elimu Bora, Haki ya kila Mtanzania


No comments:

Post a Comment